Kwa muda sasa kumekuwa na maoni mbalimbali kuhusukufanyika kwa maridhiano ya kitaifa kufutia matukio ya baada. ya uchaguzi mkuu wa mwaka Jana.Kuna wanaotaka maridiano ili kuliponya taifa kufuatia maumivu yaliyolikumba taifa kabla na baada ya uchaguzi,na engine wakiona maridhiano hayo ni kupiteza...