Wanabodi,
Kumekuwa na matukio ya kusikitisha ya maporomoko ya udongo katika maeneo mbalimbali ya nchi yetu hasa kipindi cha mvua nyingi ikiwemo Manyara, Same (Mlima Kawetere) na sasa Rungwe (Mbeya).
Matukio haya yameleta madhara makubwa: vifo, uharibifu wa makazi, na kupotea kwa mali za...
Watu 18 wamefariki dunia katika Wilaya ya Rungwe Mkoani Mbeya hii ni baada Mvua kubwa iliyonyesha usiku wa kuamkia leo kusababisha maporomoko ya udongo kutoka milimani kuvamia Makazi ya Wananchi katika kata mbalimbali.
Timu ya Zimamoto na Uokoaji kwa kushirikiana na Kamati ya Ulizi na Usalama...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.