manji na rostam

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Ushahidi Kagoda waitikisa Serikali

    SAKATA la Kampuni ya Kagoda iliyokwapua sh bilioni 33 kutoka kwenye Akaunti ya Madeni ya Nje (EPA), mali ya Benki Kuu ya Tanzania (BoT), limechukua sura mpyaa baada ya ofisi ya Mkurugenzi wa Makosa ya Jinai (DCI), Mkurugenzi wa Mashtaka (DPP)na Mkurugenzi wa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na...
  2. Kagoda, EPA zatajwa muswada wa uchaguzi

    Exuper Kachenje, Dodoma SUALA la wizi wa fedha katika akaunti ya madeni ya nje (Epa), na Kagoda, jana liliibuka na kuzua zogo wakati kambi ya upinzani ilipokuwa ikitoa maoni yake kuhusu muswada wa sheria ya gharama za uchaguzi iliyowasilishwa bungeni na serikali jana mjini Dodoma. Kuzuka kwa...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…