Wakuu kwema nilisema na tulisema, ila malipo ni hapahapa Duniani.
Naomba toa ujumbe wa njozi yangu juzi kuamukia jana . Na naomba wenye kutafasiri ndoto wanisaidie tafasiri, ningeitoa mapema ila sasa Internet ilifungwa.
Nikajikuta kwenye chumba kimoja , ila chumba kile kilikuwa na hekakeka ...
Aisee acha Mungu aitwe Mungu. Nimeamini malipo ni hapa hapa duniani.
Tundu Lissu baada ya kushinda uenyekiti Chadema,CCM waliumia sana walianzisha mizengwe ili mumdhoofisha.
Sote ni mashahidi Lissu alipewa kesi ya uhaini, Chama chake kikanyimwa Ruzuku,na kikazuiwa kufanya siasa.
CCM...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.