Habari wakuu,
Hili suala la kulipa kodi za nyumba mnalionaje maana nyumba zimekuwa ghali sana kiasi kwamba ukipiga hesabu hapo unakuta unaweza kujenga nyumba yako kali sana ukaishi zako bila stress.
Nilikuwa nafikiria hapa kupata kiwanja kigamboni nijenge nyumba ya kisasa mwenyewe badala ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.