Amani iwe nanyi...
Katika huduma nyingi za kiroho, hasa za maombezi, hushuhudiwa watu wakitetemeka, kupiga kelele, na kutoa sauti zisizo za kawaida ikielezwa kuwa ni "mapepo" yakiongea au kuteseka.
Wakati mwingine pepo husikika "likikiri" limefanya nini ndani ya mtu, huku likidai kuungua au...