Serikali ya Austria kupitia Benki ya UniCredit imeahidi kuipatia Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kiasi cha Euro milioni 20 (sawa na takribani Shilingi bilioni 60) kwa ajili ya utekelezaji wa miradi mipya ya kuzalisha umeme kwa kutumia nishati ya jua na taka.
Soma pia: Ajira 31,148...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.