Nahisi watanzania tuna katabia ka kusahau ila internet itawakumbusha.
Huyu mpuuzi ndio CCm inaweza kumpa hata msemaji wa nchi kuijibu USA.
Kama mnakumbuka mafuvu alikuwa anatolewa povu na masha love eti leo anaweza kujibu mada za pole pole aisee .
Hii nchi bwana
Katika pita pita zangu kwenye magroup ya whatsapp nimekutana na hii clip ikizungumzia hali ya vyoo eneo maarufu kama mafuvu eneo la hifadhi ya Ngorongoro barabara ya kuelekea serengeti, Naomba kujua uhalisia wake, video ni ya lini na hali ipoje
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.