Mabasi Mapya yaendayo haraka ya Kampuni ya Mofat yameonekana asubuhi ya leo (2/10/2025) yakibeba abiria katika vituo vya mwendokasi yakitokea Gerezani kwenda Kimara-Mbezi.
Hii inakuja siku moja baada ya Mkuu wa Mkoa wa Dar Es Salaam Albert Chalamila kufika kituo cha mwendokasi Kimara na...
Mofat imeingiza Mabasi tayari. Sijapenda yalivyo na rangi ya CCM. Hii ni Nchi ya Vyama vingi. Au aliambiwa usipopaka kijani hatukupi Tenda?
KAMPUNI ya Kitanzania ya MOFAT ambayo ilipewa mkataba wa miaka 12 na Wakala wa Mabasi Yaendayo Haraka Dar es Salaam (Dart) kwa ajili ya kuendesha Awamu ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.