hiki ndicho chama kinacho jiita kinajali wananchi wake kweli?
Mmeua mamia kwa maelfu lakini hadi sasa hakuna kiongozi yeyote wa CCM aliye toa pole au hata tamko au aliye lifariji taifa wala hata kuongelea hivyo vifo
Sasa unajiuliza je? CCM hii ndiyo inayo jinadi kuwa na wananchi? Au wao...