Jeshi la Yemen (Yemen armed forces) limetoa matangazo na vipeperushi kwa Wakazi wa mji wa Tel Aviv kuondoka haraka katika mji huo kwakua siyo salama tena.
Hii inafuatia mashambulizi ya makombora zaidi ya mara 3 ndani ya saa 48 zilizopita huko South and Central Israel.
Yemen imesema itaendelea...
Wanaukumbi
Maelfu ya waandamanaji katika miji mbalimbali ya Israeli wametaka usitishaji mapigano kati ya Israel na Hamas uendelee na mateka zaidi waachiliwe.
Kadiri hatua ya kwanza ya makubaliano ya kusitisha mapigano ilivyomalizika Jumamosi, watu walikusanyika Tel Aviv, Haifa na kwingineko...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.