Wakuu
Wajasiliamali wa kada mbalimbali kutoka wilaya zote tano za Jiji la Dar es Salaam wamezungumza na waandishi wa habari leo, Desemba 24, kuhusu msimamo wao juu ya maandamano nchini.
Akizungumza kwa niaba ya viongozi wenzake, Seleman Said Bane, aliyejitambulisha kuwa ni mjasiliamali wa...
Sheikh Pembe, ametoa onyo kwa Waislam kuhusu maandamano ya Desemba 25, akisisitiza kuwa jamii inapaswa kutazama matokeo ya mwisho ya hatua yoyote badala ya kushawishika na mipango au kauli zinazotolewa mitandaoni.
Akizungumza katika somo la siku, shekhe huyo amesema kuwa baada ya maandamano ya...
Rais wa Umoja wa Makanisa ya Kitume na Kinabii Tanzania Dkt. Nabii Joshua Aram Mwantyala ametoa wito kwa Wakristo nchini kujiepusha na matukio ya uvunjifu wa amani wakati na baada ya sikukuu za Krismasi 2026, akiwataka kuitumia sikukuu hiyo ya kuzaliwa kwa 'Mfalme wa amani' kutafakari na kuomba...
Daa Hawa vijana hawapoi, Baada ya D9 kufeli Gen Z wamefanya analysis na kuchagua siku ya alhamis ya tarehe 29 January 2026 kuwa siku ya maandamano ya kudai haki.
Wamechagua siku ya kazi, huu ni mtego kwa serikali maana maandamano siku ya kazi ni vigumu kuzuia movement za watu.
Na maandamano...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.