Wadau.
Napitia kanuni za maadili zilizotolewa hivi karibuni baada ya kusainiwa na vyama 18, Tume na Serikali, nimeona kanuni ambayo kwangu inakanganya.
Kanuni hii ni 2.1 kuhusu wajibu vyama.vya siasa na wagombea.
Katika kipengele h ndio kuna huo mkangayiko niliona.
Inasema; kuhakikisha kuwa...