Wakuu, nimejawa na hasira tu na hii foleni kuanzia Mikocheni mpaka Mbezi Beach, kumeshona balaa, ukisogea hatua moja ndo unalala hapo hapo mpaka unasahau kama upo kwenye chombo cha usafiri
Yote sababu Mwigulu na Lukuvi makazi yao ni Mbezi Beach. Hao wananchi kwenye majimbo yao wanahudumiwa saa...
Wakuu,
Chawa nao hufa banaaa! Nacheka lakini naogopa (kwa sauti ya Bambo). Mmeua halafu mnataka mtamalaki?
Mi nawaletea TBT tu Wakuu wangu, team chawa tuje na povu kwa step nguo zangu zote ziweze kufuliwa vizuri😌😌.
Tunamshukuru Rais Samia kwa kuongoza vizuri kuagwa kwa Lukuvi, jina la bwana...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.