Fikiria DPP ,anakaa anashauriana na Polisi ,wanaamua kumkamata MH LISSU na kumpa Kesi za kusema Uongo.
Uongo wenyewe Sasa
1-Mh LISSU kusema Wagombea wa Upinzani walienguliwa Kwa maelekezo ya Rais.
2-Mh LISSU kusema Polisi nchini wanatumika Kuiba Kura.
3-MH LISSU kusema Majaji wa Nchi hii ni...