Kaimu Balozi wa Marekani nchini Tanzania azungumzia mambo mazito yakiwemo umuhimu wa Vyombo huru vya habari, uchaguzi ni kipimo cha uongozi ..
https://m.youtube.com/watch?v=N8LT3kmJJmk
AZAM TV wamlitembelea kaimu balozi Andy Lentz na kubadilishana mawazo kuhusu umuhimu wa vyombo vya habari, na...
Leo, Kaimu Balozi wa Marekani nchini Tanzania Lentz alikutana na Mwenyekiti wa CHADEMA Tundu Lissu na kujadili umuhimu wa michakato ya uchaguzi huru, wa haki, na wa amani kwa maendeleo endelevu ya kiuchumi, kijamii, na kisiasa ya Tanzania.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.