kuzuia maiti

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. BLACK MOVEMENT

    GE2025 Kupiga marufuku Hospitali kuzuia maiti nayo ni maendeleo? Samia punguza umasikini haya yataisha automatic

    Watu wanashindwa kukomboa miili ya wapendwa wao kwa sababu kuu moja Poverty. Sasa njia ya kuondoa hili ni kudili na poverty na watu wakiwa vizuri hawatashindwa kulipia gharama za matibabu. Kupiga marufukua Hospitali kukatalia maiti sii moja ya maendeleo,ni hadaaa za kudanganya wajinga wa hii...
  2. Samia atosha tukutane2030

    Hata kama huna akili timamu unaona tu kuwa serikali ya Samia 2nd itatumia ubabe kuondoa zuio la maiti yenye deni hali itakayoongeza vifo hospitalini

    Kitakachofanywa na hospitali za Rufaa na hospital kuu kama Muhimbili ni kutotoa huduma yoyote ya msingi kwa mgonjwa kama hajalipia pesa kwenye huduma husika. Yes mpaka sasa ndicho kinachofanyika ila pindi serikali itakapotumia ubabe kuweka zuio la maiti kwenye hospital za umma hali itakuwa...
Back
Top Bottom