kuzima mitandao ya kijamii

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. McLaren

    Mchambuzi Simba Mwinyi: Kuzima mitandao ilikuwa ni mbinu bora ya kulinda amani

    Mchambuzi wa masuala ya siasa na uchumi, Simba Mwinyi, amesema amani ni kipaumbele cha kwanza kwa Serikali yoyote duniani, akisisitiza kuwa maendeleo hayawezi kupatikana ikiwa amani haitadumishwa. Akizungumza katika mahojiano maalumu na Jambo TV leo Novemba 6, 2025, amesema: “Serikali yoyote...
  2. Its Tesha

    Wamekataa kuzima mitandao ya kijamii

    Wahuni wa CCM wamekataa kuzima mitandao ya kijamii eti wanadai na wao wanapata taarifa za waandamanaji kwenye hii mitandao ila wanapima upepo mpaka baadaye usiku kama hali itakuwa ngumu na watakuwa wameanza basi watazima mtandao ili kusiwe na mawasiliano kabisa. chukua hiyo kijana mwenzangu
  3. Cute Wife

    PreGE2025 CCM na Serikali tuambieni ukweli, kelele za kutaka X(Twitter) ifungiwe ni maandalizi ya kuzima mitandao kipindi cha uchaguzi

    Wakuu, CCM hivi hamuoni vibaya? Mpaka sasa Club House haipatikani halafu tena hao kunyanyua midomo eti mnataka kufungua X(Twitter) kwa kisingizio eti inahamasisha maudhui ya Ushoga! Huu ni mtandao pekee ambako kuna maudhui ya ngono nchini? Kuna Instagram, Tiktok, Facebook, huku hakuna...
Back
Top Bottom