Mchambuzi wa masuala ya siasa na uchumi, Simba Mwinyi, amesema amani ni kipaumbele cha kwanza kwa Serikali yoyote duniani, akisisitiza kuwa maendeleo hayawezi kupatikana ikiwa amani haitadumishwa.
Akizungumza katika mahojiano maalumu na Jambo TV leo Novemba 6, 2025, amesema:
“Serikali yoyote...
Wahuni wa CCM wamekataa kuzima mitandao ya kijamii eti wanadai na wao wanapata taarifa za waandamanaji kwenye hii mitandao ila wanapima upepo mpaka baadaye usiku kama hali itakuwa ngumu na watakuwa wameanza basi watazima mtandao ili kusiwe na mawasiliano kabisa. chukua hiyo kijana mwenzangu
Wakuu,
CCM hivi hamuoni vibaya? Mpaka sasa Club House haipatikani halafu tena hao kunyanyua midomo eti mnataka kufungua X(Twitter) kwa kisingizio eti inahamasisha maudhui ya Ushoga!
Huu ni mtandao pekee ambako kuna maudhui ya ngono nchini? Kuna Instagram, Tiktok, Facebook, huku hakuna...
ccm
club house
digital rights
katiba ya tanzania
kuelekea 2025
kuelekea uchaguzi 2025
kufungia x(twitter)
kuzimamitandaoyakijamii
uhuru wa kujieleza
uhuru wa kupata taarifa
uhuru wa kuwasiliana
uvccm taifa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.