Unapozungumzia sijui angalieni sudan nacho mwambia na yeye akaangalie Wasafi ze story book kwa nini sudani ilifikia pale.
Mlipofikisha hapa mbona unaruka kama CD imechubuka.
ujataja haya mambo:
• Uchaguzi feki,
• Utekaji,ufisadi,uhuru wa haki.
Kama yupo au anayemfahamu mwambieni The story...