kuombea amani tanzania

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. PAYE

    GE2025 BAKWATA waelekeza Waumini kufunga kuombea Amani kuanzia Oktoba 23 hadi Matokeo ya Uchaguzi

    Baraza la Waislamu wa Tanzania (BAKWATA) Mkoa wa Mwanza limewaelekeza waumini wake wa kufunga kwa maombi kuanzia Alhamisi ya Oktoba 23, 2025 hadi siku yatakapotangazwa matokeo ya uchaguzi Mkuu wa Tanzania wa Oktoba 29, 2025 na Tume huru ya Taifa ya uchaguzi. Akizungumza wakati wa Kikao cha...
  2. Just Pray

    GE2025 Dkt. Biteko: Tufanye toba ya kweli kupata Amani

    Baada ya hekaheka za wiki nzima, Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Mashaka Biteko amewasihi watanzania kufanya toba ya kweli kupata amani Dkt. Biteko ameyasema hayo wakati alipoungana na wana Bukombe pamoja na wakazi wa maeneo jirani kumuabudu Mwenyezi Mungu kupitia mkesha...
Back
Top Bottom