Rais wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan ametoa Tsh. Milioni 100 ili zikamilishe Ujenzi wa Makumbusho ya Hayati Dkt. John Pombe Magufuli yaliyopo Chato Mkoani Geita.
Makamu wa Rais wa Tanzania, Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi amesema hayo leo March 17,2026 wakati akiongea kwenye Kumbukumbu ya...
"Kijana ambaye ni mpenda rushwa, mwizi, fisadi, tapeli, mvivu, mtumia madawa ya kulevya, asiyejifahamu, nk, aina hii ya vijana wana mchango mdogo sana katika taifa na hata kwenye chama." - Magufuli
Hii ndio aina ya vijana waliojaa CCM na CCM-B zote, chawa wasio na maana wanaouza wenzao ili...
Kumbukizi ya Magufuli: Nami Niseme Mambo Sita!
Denis Mpagaze
_________________________
Ni mwaka wa nne sasa Mzee John Pombe Magufuli amelala!
Namisi sana ziara zake, hotuba zake, utani wake, ukali wake, Kiswahili chake na ucheshi wake!
Magufuli aliongozwa na mambo sita! Nimeyaita
Umagufuli...
Picha: Hayati Rais Magufuli enzi uhai wake
This is a special thread and a tribute to the late J.P.M.
Najua tupo katika kipindi cha masikitiko kama taifa, Jemedari wetu amefariki dunia, kama lisemavyo neno la Mungu katika kitabu cha biblia kuwa mfalme hawezi kuokolewa kwa na jeshi lake kubwa...
erick kibendera
hayati magufuli
hayati rais magufuli
ingekuwaje
kitabu cha kibendera
kumbukiziyamagufuli
kumbukumbu yamagufulimagufuli
mzee
sana
tanzania
tanzania kujitegemea
viongozi wa africa
watanzania
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.