Wakuu!
Zoezi la Uchukuaji Fomu za kugombea nafasi ya Ubunge katika Majimbo Mkoani Geita limeanza, ambapo leo June 28, 2025 Mwambata kutokea katika Ubalozi wa Tanzania nchini Uganda anayeshughulikia Masuala ya Fedha, Kulwa Biteko amewasili katika Ofisi za Chama cha Mapinduzi (CCM) wilaya ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.