UMELIA KWA BIDII NA WELEDI MKUBWA?
Jikaze kiume!
Wanaume hawalii!!
Usilielie kama mwanamke!! Na kauli nyingine nyingi zinazoendana na hizo kimekuwa ni kitu cha kawaida sana katika mazingira tunayoishi.
Na halafu? Unalazimishwa kukinzana na mfumo wa maumbile! Unajikuta unakubali kujikaza...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.