kukemea maovu

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. K

    Joseph Ludovic: Viongozi wa dini wana haki na wajibu wa kukemea maovu lakini lugha wanayotumia si ya kiuchungaji

    Joseph Ludovic ambaye ni mwalimu wa na masomo ya dini mbali na kulaani vurugu za uchaguzi uliofanyika Oktoba 29, mwaka huu ametoa wito kwa viongozi wa dini kuponya taifa kwa kuhimiza maridhiano badala ya kugeuka kuwa wachochezi kwa kutoa kauli zenye viashirio vya uchochezi wa kuligawa taifa.
  2. The Magnifico

    Mchungaji: Hatutaacha kukemea maovu sababu ni suala la mbinguni siyo la kisiasa.

  3. G Sam

    Rais Samia hahujumiwi. Angekuwa anahujumiwa angekuwa mstari wa mbeli kukemea maovu na utekaji hadharani

    Rais wala hahujumiwi kuhusu utekaji na maovu. Haya matendo anayalea na upo uwezekano kuwa watu wake wa karibi wanaguswa kwenye matukio. Rais Samia angekuwa anatoka hadharani kukemea mambo haya na kuchukua hatua vilivyo basi tungesema anahujumiwa. Lakini hasemi wala hakemei na watu wanafanyiwa...
  4. R

    Kwanini watu wakitekwa au kupotea viongozi wa CCM hawakemei au kulaani kwa wakati?

    Nadhani viongozi wa CCM wanapaswa kubadili msimamo wao. Kila ikitokea taarifa ya kutekwa au kuuwawa kwa asiye mwana CCM wao ukaa kimya. Kwa kuzingatia umuhimu wa haki ya kuishi niwaombe wabadili response strategy zao na wajitokeze mapema kulaani na kukemea. Ukimya wa CCM umepelekea hata vyombo...
Back
Top Bottom