kuishi na majirani

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. N

    Kuishi na majirani kibongo bongo inahitaji uwe na moyo wa uvumilivu sana, haina tofauti na maisha ya ndoa

    Jirani wa kwanza yeye ana shamba lake la mahindi sasa mbwa wake amezaa akawa anasubiri nikienda kazini anakuja kumuazima wife kambwa changu kisa kanabweka anakachukua anaenda nacho shamba kwenda kulinda dhidi ya tumbili. Sijui kama huko anampa chakula au hampi ila jioni anamrudisha imagine mbwa...
  2. Fundi manyumba

    Kuishi na majirani yataka moyo

    Wakuu ni mwezi sasa tangu nijiunge na chama cha wapangaji. Sasa naona kasheshe ya kukaa nyumba moja na wanafunzi plas mdada ambaye pesa yake kutoa mpaka bwana wake amzingatie. Watu wanakera sana sana sana. Ishu imekua changamoto hapa ni umeme yaani umeme unaisha kama kuna mpangaji anakunywa...
Back
Top Bottom