kuelekea 025

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. W

    PreGE2025 Katibu ACT Wazalendo Songea, ahamia CCM

    Aliyekuwa Katibu wa Chama cha ACT Wazalendo Wilaya ya Songea, Bi Grace Mallya, tarehe 19/5/2025 ametangaza rasmi kuachana na chama hicho na kujiunga na Chama Cha Mapinduzi (CCM). Akizungumza wakati wa kutangaza uamuzi huo, Bi Grace alisema ameamua kuhamia CCM kutokana na kuvutiwa na jitihada...
  2. kavulata

    CCM heshimuni wazee, waacheni wapumzike

    Uzee ni muda wa kutubia, kuungama na kutumia kile ulichochuma wakati wa ujana wako. Sio muda wa kutafuta dhambi na maadui wapya bali kutafuta watu wengi zaidi wataokuzika siku ukifa. Kazi mliyompa Mzee Wasira ya uwenyekiti wa CCM bara ni kazi nzito sana kwa Mzee kama Wasira aliyelitumikia taifa...
  3. W

    PreGE2025 Tazama kiongozi wa ACT alivyozuiliwa kuingia mahakama ya Kisutu kwenye kesi ya Lissu

    Leo ni siku ambayo imekuwa busy sana wakuu, huku watu wanatekwa huku wengine wanazuilwa mahakami yani imekuwa tafrani. CCM kama inajiamini kwa nini inafanya haya yote? Kwanini wasitulie === Kiongozi wa ACT Wazalendo Dorothy Semu amezuiliwa kuingia kwenye Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, jijini...
Back
Top Bottom