Habari wanaJF
leo nikiwa katika daladala za Buza-Kawe kunatukio limetokea nimeona sio sawa ,
kuna dada alikuwa anataka kushuka kwenye kituo anachotaka kushuka sasa alikuwa bado anadai chenji kwa konda ameanza kumdai kabla ya kufika katika kituo anachotaka kushuka yule konda akawa anamjibu...