Kwenye Thread hii nimekuandikia aina za Kodi unazotakiwa kulipa kama Mfanyabiashara nchini Tanzania.
1. Kodi ya mapato
Hapa Kuna Kodi aina mbili (Income Tax au Corporate Tax)
Hutegemea na aina ya biashara, hii hua ni 30% ya faida ya biashara au Kampuni.
2. VAT
Value Added Tax hii Kodi ambayo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.