kizazi cha hovyo

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. M

    Gen Z kizazi cha hovyo kabisa kutokea hapa nchini. Mzazi analipa karo alafu wanajibu lugha ya matusi

    Japokuwa ni wachache waliofanya huu upuuzi. Lakini kwa ujumla Gen Z ni kizazi cha hovyo kabisa hapa nchini. Yaani mtihani wa taifa mtoto anajibu matusi ya nguoni!
  2. DuaZaMama

    GE2025 Kizazi kilichodhaniwa kuwa cha ovyo, sasa ni chachu ya mabadiliko

    Maandamano ya Gen Z kutoka Kenya hadi Morocco, Nepal hadi Peru, na sasa Madagascar, yamekuwa yakitikisa mitaa na mitandao. Kundi hili la vijana limekuwa na mada kuu tatu wanazozisukuma kwa nguvu: uwajibikaji wa viongozi, mabadiliko ya kijamii, na usawa wa kiuchumi. Aidha, wamekuwa wakisisitiza...
Back
Top Bottom