KIWANDA cha sukari cha TPC kilichopo mkoani Kilimanjaro,kinatumia kiasi cha sh Bilioni 1.5 kila mwaka kwa ajili ya kusaidia shughuli za kijamii kwa wananchi wanaoishi kuzunguka kiwanda hicho katika wilaya za moshi vijijini na Simanjiro mkoani Manyara.
Sehemu ya fedha hizo zinakwenda katika...
Moja ya uwekezaji ambao serikali inaweza ikajivunia ni kiwanda cha sukari cha TPC kilichopo kata ya Arusha chini wilaya ya Moshi mkoani Kilimanjaro kutokana na kiwanda hicho kuonyesha ufanisi mkubwa katika kuchangia shughuli za maendeleo kwa jamii inayoishi kunguka kiwanda hicho.
TPC inajivunia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.