Mtangazaji na mwanamitandao maarufu nchini Tanzania, Juma Lokole, kupitia kipindi cha Wasafi FM, ameanika siri nzito na kuthibitisha kuwa mahusiano ya kimapenzi kati ya waundaji maudhui Kiredio na Vee Dollarz yamevunjika rasmi takribani miezi mitatu iliyopita. Lokole ameeleza kuwa amechoka...