Kimanga (Kata ya Kimanga, in Swahili) is an administrative ward of the Ilala Municipical Council of the Dar es Salaam Region in Tanzania. The wards of Ubungo MC are bordered to the north by the wards of Makuburi and Kimara. The ward is bordered by Segerea to the south and Tabata to the east. Kinyerezi borders the ward on its western side. According to the 2022 census, the ward has a total population of 50,340.
Mimi ni mzaliwa wa Kilimanjaro ila mkazi wa Tabata – Kimanga, Dar es Salaa. Kwanza ya yote nawashukuruni sana sana JamiiForums kwa kazi nzuri mnayoifanya kwa kutusaidia kutatua kero mbalimbali zilizopo hapa nchini kwetu Tanzania.
Mimi kero yangu ni Sungusungu / Police jamii wanaolinda usiku...
Kwa mamlaka husika, Afisa mazingira na NEMC
Naomba kuwasikisha malalamiko kuhusu mkusanyiko wa chupa za plastiki zilizotumika, kama inavyoonekana kwenye picha iliyoambatishwa. Eneo hili lipo Tabata Kimanga opposite ofisi ya serikali ya mtaa na pia karibu na sheli ya ATN na hali hii...
Kwa Yeyote Anayehusika,
Ninaandika barua hii kama mkazi wa Tabata Kimanga aliyechanganyikiwa, nikilazimika kupaza sauti yangu dhidi ya hali mbaya ya barabara ya Tabata Kimanga. Kwa moyo mzito na hasira inayochemka, ninawasiliana nanyi, mamlaka ambayo imepewa jukumu la kuhakikisha ustawi na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.