Klabu ya Simba SC imeweka wazi kikosi chake kitakachosafiri leo Oktoba 16, 2025 kuelekea nchini Eswatini kwa ajili ya mchezo wa Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Nsingizini Hotspurs, utakaochezwa Oktoba 19, 2025.
Katika orodha hiyo, jina la goilikipa Moussa Camara, Alassane Kanté, Mohammed...
Kikosi hiki cha zamani cha Simba SC kimeacha kumbukumbu kubwa kwa mashabiki wa soka nchini. Wengi walitoa burudani uwanjani na kutengeneza historia ya klabu.
Unamkumbuka mchezaji gani hapa kwenye hiki kikosi cha Simba?
Napingana na baadhi ya mashabiki na wachambuzi wanaotafuta kichaka cha kujifichia kwamba Simba ratiba yao imekuwa ngumu ndio maana wachezaji wamechoka na wakafungwa hili jambo sio kweli ata kidogo!
Maana ya kikosi kipana sio kuwa na rundo la wachezaji tu ni kuwa na wachezaji wanaolingana ubora...
Mkutadha: Kikosi kilivyotua airport tayari kuanza safari ya kuelekea Morocco mchezo wa fainali ya CAFCC
Kikosi cha Simba SC kimeanza safari yake kuelekea Morocco kwa ajili ya mchezo wa fainali ya Kombe la Shirikisho Barani Afrika (CAFCC) mwaka 2025 dhidi ya RS Berkane.
Mechi hiyo...
Kikosi cha Simba SC kwa msimu wa 2024/2025.
KILICHOFUZU KUCHEZA FAINALI ZA SHIRIKISHO BARANI AFRICA CAFCC 2024-205.
kinajumuisha wachezaji kutoka mataifa mbalimbali ya Afrika. Hapa chini ni orodha ya baadhi ya wachezaji na nchi zao:
GOLIKIPA
1. Mussa Camara🇬🇳
2. Aishi Manula 🇹🇿
3. Ally...
Ubaya Ubaya!
Katika mechi ya dhidi ya Al Masry, Simba imefanyiwa vitendo vya dhulma kwa kunyimwa penalty wakati Ateba amefanyiwa faulo na golikipa wa Al Masry. Tegemeo langu lilikuwa ni kumuona angalau kapteni shabalala akihamasisha wachezaji wenzake wamlazimishe refa kwenda kuangalia kwenye...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.