Tunafaamu kifo kipo na hakiepukiki, kila mmoja ataondoka kwa wakati wake uliopangwa na mwenyezi Mungu.
Leo nimekuja kumtembelea rafiki yangu mstaafu mwenye miaka inayokadiriwa 75, katika maongezi yetu akaniambia yeye ni yatima; amefiwa na baba pamoja na mama tangu miaka 10+ iliyopita.
Ghafla...