Waziri wa Fedha, Dkt. Mwigulu Nchemba, Jumamosi ya tarehe 09 Agosti 2025 amefika nyumbani kwa marehemu Job Yustino Ndugai, Spika Mstaafu wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, eneo la Njedengwa jijini Dodoma, kwa ajili ya kutoa pole na kusaini kitabu cha maombolezo.
Soma Pia: Job Ndugai...