kesi ya wachokonozi

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. DuaZaMama

    GE2025 Kesi ya wachokonozi kusikilizwa mfululizo kuanzia Septemba 15

    Kesi ya jinai inayowakabili wamiliki wa jukwaa la mtandaoni la Wachokonozi, Jackson Kabalo na Joseph Mrindoko, Agosti 19, 2025, imeendelea katika Mahakama ya Wilaya ya Meru mbele ya Hakimu Sodeyeka, kwa kusomwa hoja za awali(ph) Washitakiwa wote wawili walikanusha mashitaka mawili...
  2. Just Pray

    GE2025 Kesi ya wachokonozi yaahirishwa tena mpaka Agosti 19, 2025

    Kesi ya jinai inayowakabili wamiliki wa jukwaa la mtandaoni la Wachokonozi, Jackson Kabalo na Joseph Mrindoko, imeahirishwa kwa mara nyingine tena katika Mahakama ya Wilaya ya Meru na sasa itasikilizwa Agosti 19, 2025 kwa ajili ya hoja za awali. Washitakiwa hao wanakabiliwa na mashtaka mawili-...
  3. M

    Wachokonozi waachiwa huru, wakamatwa tena na kushtakiwa upya

    Leo Julai 21, 2025 wamiliki wa jukwaa la mtandaoni la #wachokonozi Jackson Kabalo na Joseph Mrindoko, leo wamefikishwa kwa mara nyingine katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Arusha kwa ajili ya kusomewa hoja za awali katika kesi ya jinai inayowakabili, kabla ya kuachiwa huru na kukamatwa tena mara...
Back
Top Bottom