Kesi ya Uhaini inayomkabili Mwenyekiti wa Chadema Taifa, Tundu Lissu inasikilizwa leo Mei 6, 2025 na itakuwa kwa njia ya mtandao.
===
UPDATE
Link imekatwa na hivyo haitakuwa rahisi kufuatilia
Wakili Jebra Kambole kupitia ukurasa wake wa X anaandika;
"Polisi wamefika nyumbani kwa wakili Tundu toka Usiku wanataka kupekua uhaini wa maneno! Tumieni akili kidogo unaendaje kupekua nyumbani kwa mtu bila amri ya Mahakama na bila ya mmiliki wa nyumba kuwepo?
Au mnataka kumuwekea vitu vyenu...