kesi ya udhalilishaji

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Mkalukungone Mwamba

    Dorothy Gwajima: Nimewasiliana na mke wa Justice Rugaibula, ambaye alifanyiwa fujo ya kufukuzwa kwake, nimemwambia afungue kesi ya udhalilishaji

    Kuna vipande vingi vya video kuhusu sakata hili ambapo, vingine vinaonesha mama mjane akiwa anabebwa kama mzigo ambapo, kimsingi huu ni UDHALILISHAJI. Nimewasiliana na mama huyu na kumwambia pia ashtaki kuhusu huu udhalilishaji ili, mwanasheria wake aone hatua stahiki za kuchukua kisheria. NASI...
  2. Just Pray

    Aliyemshambulia mwenzie kisa Mwijaku akosa dhamana, atupwa mahabusu

    Mmoja kati ya wanafunzi watatu kutoka vyuo vikuu tofauti tofauti jijini Dar es Salaam, waliodaiwa kumshambulia mwenzao wakimgombania msanii na mtangazaji wa vipindi vya redio, Burton Mwemba maarufu kama Mwijaku, ameswekwa mahabusu baada ya kukosa dhamana katika kesi ya jinai inayomkabili na...
  3. Smt016

    Kuna kesi ya udhalilishaji kama wale walioonekana kwenye video ya kukamata makahaba watapata mwanasheria mzuri

    Nimeona clip, mkuu wa wilaya wa Ubungo anavyoangaika na vitu vya ovyo utafikiri wilaya yake ya Ubungo wananchi wake wanatatuliwa na matatizo lukuki zinazowakabili. Niliwahi kwenda sehemu moja inaitwa Kisopwa kupitia barabara ya Kifuru kwenda hadi Vibula aisee barabara ni mbovu sana unaweza sema...
Back
Top Bottom