kesi ya lissu yaarishwa

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Waufukweni

    GE2025 Hakimu Franco Kiswaga: Hakuna sababu ya shauri hili kuahirishwa kila wakati, akionya Upande wa Jamhuri kusuasua kwao kila siku Kesi ya Lissu

    Hakimu Mfawidhi wa Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, Franco Kiswaga, ameahirisha kesi ya uhaini inayomkabili Mwenyekiti wa CHADEMA, Tundu Lissu, hadi tarehe 13 Agosti 2025, huku akitoa onyo kali kwa upande wa Jamhuri kutokana na kusuasua kwao mara kwa mara. Akizungumza baada ya maombi ya...
  2. Waufukweni

    PreGE2025 Kesi ya Uhaini inayomkabili Lissu, yaahirishwa hadi Mei 6, 2025 na itasikilizwa kwa njia ya mtandao

    Jopo la Mawakili 31 wanaomtetea Mwenyekiti wa CHADEMA, Tundu Lissu wakitoka katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu baada ya kuahirishwa kwa kesi ya uhaini inayomkabili Mwenyekiti huyo. Pia soma > LIVE - Kisutu: Kesi ya Tundu Lissu leo itaendeshwa kwa njia ya Mtandao. Kila Mtu huru kusikiliza...
Back
Top Bottom