BM ni mojawapo ya mabasi ambayo imewekeza na kuingia kwenye usafiri na usafirishaji wa parcel kwa nguvu sana. Wana mabasi mengi sana route ya DAR-ARUSHA.
Wasafiri wa kanda hizo wanapenda luxury sana, ukipeleka bus lako ngwarngwara huwezi pata abiria. Wao kulipa TZS 87,000 kwa 2 X 1 seat sio...