kazi ya kufundisha

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. kingphisher

    Yah: Ombi la Nafasi ya Ufasiliteta/Mwalimu wa ICT

    Mimi ni kijana wa kiume, mwenye umri wa miaka 27, Ninapenda kuwasilisha nia yangu ya kujiunga na taasisi yako kama mwalimu au fasiliteta wa masomo ya ICT. Nina Shahada ya Business Information Technology, na kwa takribani mwaka mmoja nimekuwa nikifanya kazi na kampuni inayotoa mafunzo ya TEHAMA...
  2. M

    Naitaji kazi ya kufundisha

    Ni Mwalim wa geography and history nipo Dar natafuta tuition ya kufundisha kipindi cha likizo 0750544220 what's app Geography and history
  3. E

    Natafuta kazi ya kufundisha majumbani

    Habari mimi ni mwanafunzi wa mwaka wa tatu UDSM natafuta kazi ya kufundisha majumbani (tuition), kuanzia shule ya msingi mpaka kidato cha sita masomo ni English, kiswahili na History kwa mawasiliano zaidi 0785935414, ahsante.
  4. C

    Kazi ya kufundisha

    Natafuta kazi ya kufundisha Mathematics na ICT,dar es salaam Shukran 0621594478 napatikana kiwalani.
  5. Natafuta pesa

    Ninatafuta kazi ya kufundisha Kiswahili na Historia

    Habari za muda huu. Mimi ni kijana wa kitanzania. Nina umri wa miaka 25, natafuta kazi ya kufundisha kwenye taasisi ya elimu kwa ngazi ya kidato cha kwanza hadi kidato cha sita. Nina uzoefu wa kufundisha shule ya sekondari kwa kipindi cha muda wa mwaka mmoja na nusu, somo la Kiswahili na...
Back
Top Bottom