katibu wa bavicha

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. GE2025 Katibu wa BAVICHA kanda ya Victoria ahamia CCM

    Kijana kakikacha chama chake bila shaka kafuata maokoto ya CCM ================= Aliyekuwa Katibu wa Baraza la Vijana Wa CHADEMA (BAVICHA Alon Kalomba amemuhakikishia Mgombea Urais Dkt. Samia Suluhu Hassan kuwa Tarehe 29, Oktoba hakutakuwa na Maandamano. Alon ametoa kauli hiyo kwenye mkutano...
  2. R

    GE2025 Katibu wa BAVICHA Jimbo la Lupembe, Abedinego Sunday Sanga achukuliwa na wasiojulikana

    Katibu wa Baraza la Vijana wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (BAVICHA) jimbo la Lupembe, Abedinego Sunday Sanga, anadaiwa kutekwa na watu wasiojulikana akiwa katika duka lake la madawa eneo la Matembwe, Halmashauri ya Wilaya ya Njombe. Mwenyekiti wa CHADEMA Wilaya ya Njombe, Seth Vegula...
  3. PreGE2025 Katibu wa BAVICHA Mtaa wa Msasani, Tunduma 'No Reforms No Election' ina mpango wa kuipendelea team Lissu

    Elisha Asa Mwambene, Katibu wa Baraza la Vijana wa CHADEMA (BAVICHA) Mtaa wa Msasani, Tunduma, Mkoa wa Songwe, ameibua mjadala mzito kuhusu kampeni ya “No Reforms No Election” inayoendeshwa na Mwenyekiti wa chama hicho Taifa, Tundu Lissu. Kupitia mahojiano na wanahabari, Elisha amesema vijana...
  4. W

    PreGE2025 Maandamano ya CHADEMA Mwanza kupinga kutoweka kwa Katibu wa BAVICHA yapigwa marufuku

    Jeshi la polisi mkoa wa Mwanza limefanikiwa kudhibiti maandamano ya wanachama wa chama cha Demokrasia na Maendeleo - CHADEMA yaliyokuwa yamepangwa kufanyika siku ya leo katika maeneo mbalimbali ya mkoa wa Mwanza hasa katika wilaya ya Ilemela na Nyamagana. Akizungumza na waandishi wa habari...
  5. W

    PreGE2025 RC Mtanda azungumzia suala la Katibu wa BAVICHA- Mwanza kupotea, asema serikali haina lengo la kumteka yeyote yule

    Amesema kuwa ameona taarifa ya jeshi la polisi kuhusu kutekwa kwa Katibu huyo, Soma: Pre GE2025 - Amani Manengelo, Katibu wa BAVICHA Mkoa wa Mwanza, ameripotiwa kutekwa na kupotea tangu tarehe 14.02.2025 huko Misungwi "Nitaliita jeshi la polisi ambalo lina dhamana ya kuilinda amani, usalama na...
  6. PreGE2025 Amani Manengelo, Katibu wa BAVICHA Mkoa wa Mwanza, ameripotiwa kutekwa na kupotea tangu tarehe 14.02.2025 huko Misungwi

    Amani Manengelo, Katibu wa BAVICHA Mkoa wa Mwanza, ameripotiwa kutekwa na kupotea tangu tarehe 14.02.2025 huko Misungwi, Mwanza. Pia Soma: Kupata matukio ya nyuma kuhusu watu wasiyojulikana ingia hapa Kiongozi wa Madaktari (Dr. Ulimboka) atekwa, aokotwa akiwa katika hali mbaya sana Ameandika...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…