katiba ya nchi

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. G

    Nchi ya Tanzania Haina Dini kuweka masharti yoyote ya kidini ni kinyume Cha katiba ya nchi kufunga sio Sheria ya nchi viongozi wasiwe wanafiki

    Zanzibar sio nchi ni sehemu ya nchi ya Jamhuri Moja ya jambo la hatari Kwa taifa ni kuruhusu masharti ya kidini kuingizwa na KUSIMAMIA Kwa watu wote wa Jamhuri ya TANZANIA Nakemea vikali unafiki wa viongozi Jamhuri ya muungano wa Tanzania kufumbia macho masharti ya kidini kutekelezwa Kwa watu...
  2. Pascal Mayala: Tuna changamoto kubwa ya tafsiri ya sheria nchini. Tumefanya chaguzi kwa Katiba batili

    Akiongea katika kipindi cha Jambo Asubuhi, Mwandishi Pascal Mayalla amesema Tanzania kuna tatizo kubwa la tafsiri ya sheria, hata kwenye Mihimili mitatu ya dola.
  3. I

    Kufuru ya Katiba ya Nchi kuitwa 'kijitabu' inayoitesa nchi

    Tatizo lilianza siku alipoidharau Katiba ya nchi kwa kuiita kwa maneno yake mwenyewe kuwa 'kijitabu'. Na kuna siku atashitakiwa kwa kuikashifu Katiba ya nchi. Namna pekee ya kupona ni kwa yeye kutoka hadharani na kuhutubia kama alivyofanya juzi lakini badala ya kuongea mipasho aombe radhi kwa...
  4. Katiba ya nchi ya akina Muliro, Chalamila na genge lao inasema maandamano ni kosa la jinai

    KATIBA ya Nchi ya Watanzania inasema Kuandamana ni HAKI YA WATANZANIA.
  5. GE2025 Uchaguzi mkuu wa tanzania hufanyika kila baada ya miaka mi5 kwa mujibu wa sheria na katiba ya nchi na sio kwa mujibu wa reforms anazotaka mtu au chama

    Ni vizuri wale ambao wanahadaa wananchi na kuwapotosha kwa makusudi kabisa, eti ya kwamba hapatakua n uchaguzi mkuu baadae mwaka huu mwezi wa wafahamu na kuelewa kwamba huo ni uongo wa wazi na upotoshaji wa kiwango cha chini sana. Sio lazima pawepo na reforms ili uchaguzi mkuu ufanyike, bali kwa...
  6. S

    Polepole aulizwe. Katiba ya nchi na tume ya uchaguzi viko sawa? Mbona hahangaiki kudai reforms?

    Kwa wananchi na wapenda haki wote. Polepole amekerwa na mchakato wa uteuzi wa rais na mgombea mwenza ndani ya chama chake tu. Lkn uporaji wa uchaguzi kama ule uliofanywa 2019, 2020 na 2024 Polepole anaona sawa tu. Na wala siyo shida zake hizo. Polepole na kundi lake hawapiganii haki ya...
  7. Kama CCM Wameweza kwenye Chama Yanashindwaje kurekebisha Katiba ya Nchi?

    Baada ya kuweza kurekebisha Katiba ya CCM ndani ya masaa 72 kwa nini CCM wanaona hakuna muda wa kurekebisha Katiba ya nchi su sheria za Uchaguxi ndani ya miezi 2. Penye nia Pana njia. Ni swala la kuamua tu. Kama nia ipo inawezekana.
  8. E

    Kumbe hata muda wa kufanya marekebisho ya katiba ya Nchi upo

    Walafi wa mali za Nchi wanasema mara ooh! Muda wa kufanya marekebisho ya katiba ya nchi haupo !! Sasa kiko wapi!!! Mbona mmeitana kubadili vifungu vya katiba ccm ili kulinda maslahi yenu yanayotishiwa!? Mungu atawafunua kila hila yenu.
  9. H

    Muda Wa Kubadilisha Katiba Ya Chama Unatosha Ila wa Kubadilisha Katiba Ya Nchi na Sheria za Uchaguzi, Hautoshi

    Matukio yanayoendelea yanazidi kutudhihirishia nchi yetu imejawa na matapeli na watu waongo. Watanzania wamekuwa wakililia katiba mpya na Tume huru ya uchaguzi kwa miaka mingi, na madai hayo yamepewa nguvu na msimamo wa CHADEMA kutokubali kuingia kwenye uchaguzi wa kihuni, uchaguzi usio haki...
  10. CCM wameshindwa kufanya mabadiliko ya katiba ya nchi, Wameamua kubadili katiba ya chama ili kumbeba mgombea aliyepitiahwa kwa njia HARAMU.

    Mimi nampenda sana rais Samia Suluhu Hassan lakini anachotaka kukifanya ni UDIKTETA. Tafadhali sana ndugu Samia elewa kwamba tumekuchoka, nenda ukapumzike tu kizimkazi wakati sisi tunawashughulikia matapeli wa bandarini, KIA na bonde la Ngorongoro.
  11. R

    Mchungaji Malisa: Katiba ya nchi kifungu 38:2A, kimetaja muda wa kuanza mchakato wa wagombea Urais kwa vyama, ni baada ya Bunge kuvunjwa

    Salaam! Sasa tushike katiba ya chama au katiba ya nchi kwenye suala hili? Kwa kuwa mchakato wa kupata mgombea Urais kwenye vyama kulingana na katiba kifungu 38:2A umetaja muda kuanza mambo hayo ni baada ya Bunge kuvunjwa. Sasa baada ya bunge kuvunjwa rasmi, kumbe ndio maana zoezi la ubunge...
  12. Tusimwonee Samia, Tusimbeze Polepole - Katiba ya nchi inasemaje? SAMIA HANA KOSA!

    Team! Jana nilifuatilia kwa karibu wasilisho la Balozi Polepole na usiku huu nimerudia kusikiliza hoja yake kuhusu Rais kutogombea kwa hoja inayojengwa juu ya utamaduni. Hizi ni fikra mbovu kiasi fulani. # Wapi ilikoandikwa ktk Katiba kuwa VP, PM, Speaker hawaruhusiwi kuwa Rais miongoni mwao...
  13. Waliokusudia kuinajisi Katiba ili Samia asiapishwe kuwa Rais waanza kujitokeza

    Asante CDF mstaafu kwa kudhibiti nia ovu za hao bandits na terrorist wa kisiasa ambao sasa wanajiexpose wenyewe moja moja tena wakiwa hidden places. Na bado..... Well done our security forces, well done CCM chini ya Dr.Samia Suluhu Hassan. Ndugu Rais, tafadhali sana shikilia hapo hapo mpaka...
  14. Changamoto ya Uongozi Usiohamasika na Utii wa Misingi ya Katiba ya Nchi na Katiba ya Chama: Wahuni watamzidi nguvu Polepole au atawamudu?

    Na Mwandishi WETU HUMPHREY POLEPOLE anafahamika kwa harakati zake kupambana na watu anaowaita wahuni; akimaanisha watu wasiofuata taratibu katika uongozi. Amewahi kuwa Katibu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) – Uenezi, Itikadi na Mafunzo. Huyo ndiye Polepole, ambaye hadi jana mchana – Jumapili ya...
  15. Bunge lisilo na maono na linalokiuka katiba ya nchi

    Ndugu zangu Watanzania, huu si wakati wa kimya. Tumevumilia kwa muda mrefu. Sasa ni wakati wa unfiltered truth. Tuko katika kipindi ambapo Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania limepoteza kabisa legitimacy yake ya kikatiba. Limegeuka kuwa a ceremonial rubber-stamp institution, linalotumika...
  16. Bunge la Tanzania limtangaze Catarina Viera kama adui wa Katiba ya nchi

    Kifungu 107 B cha Katiba kinazuia mahakama ya Tanzania kuingiliwa na chombo chochote na hivyo kuwa huru kimaamuzi. Leo hii Lissu akiachiwa wapo watakaojiuliza jee mahakama haijaingiliwa na Azimio la bunge la Ulaya katika kufanya maamuzi?? Wajuzi wa Sheria Pascal Mayalla njooni mjadili
  17. Reform Part 1;Kwa nini tunahitaji mabadiliko kwenye katiba ya Nchi na katiba ya Chama

    Salaam kwako Tundu Lissu uko Gerezani ulipo,Sera yako au yenu Chadema imenifanya nirudie kusoma Mwalimu Julius Nyerere Epilogue of his collective work inayojulikana kama Uhuru na Umoja ili kuweza kujua ama kupata sababu ya Chadema kuja na fikra ya mabadiliko kwenye katiba ama Reformation kwenye...
  18. Mfanyakazi wa ndani raia wa India anyongwa UAE kwa mauaji ya mtoto mchanga

    Kuna malalamiko ambao mfanyakazi kutokuwa na hatia lakini wameamua kumnyonga ambaye ambaye hata familia yenyewe imelalamika kuwa sio yeye. Imani ya wa isalamu ndio inatajawa kuwa imani yenye sheria mkononi sana yenye mafundisho binafsi ambayo yenye chuki kuanzia ngazi zote bila kuweka...
  19. Soma katiba ya nchi yako ujue sheria na haki yako uwe jasiri maana tunaongozwa kwa katiba

    Maneno hayo yana ukweli mwingi. Kujua Katiba ya nchi yako ni muhimu sana kwa sababu: Inakupa Ufahamu wa Haki Zako – Unapojua haki zako, huwezi kudhulumiwa kirahisi, na utaweza kuzitetea ipasavyo. Unajua Wajibu Wako – Katiba siyo tu kuhusu haki, bali pia inabainisha majukumu yako kama raia...
  20. Serikali itenge siku maalum ya kitaifa kuadhimisha katiba ya nchi.

    Katiba ndio kitu kinachoweka muongozo wa nchi na jinsi ya watu kuhusiana katika taifa, kwa umuhimu huo serikali itenge siku maalumu(public holiday) ya kuadhimisha na kusheherekea katiba ya nchi yetu(constitutional day) kukuza uzalendo na utaifa wa taifa. Ni muhumu siku hiyo ikawa katikati ya...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…