Jaji mstaafu wa Mahakama ya Juu ya Uganda, Profesa George Kanyeihamba, amefariki dunia akiwa na umri wa miaka 84. Kifo chake kimethibitishwa na msaidizi wake binafsi aliyejitambulisha kwa jina la Denis, ambaye alisema Profesa alifariki katika Hospitali ya Nakasero alipokuwa akipatiwa matibabu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.