Kuna askari zaidi ya 40 wenye uniform wana bunduki wamezingira kanisa upande wa barabara na wengine kwa nyuma, kuna wenye uniform na wengine wamevaa kiraia, pia kuna magari ya polisi zaidi ya kumi.
Pamoja na polisi wote hao, waumini hawajaondoka, wamekaa chini ng'ambo ya barabara.
Hivi ni...