Umoja wa kampuni Binafsi za Ulinzi Tanzania wanataraji kufanya mkutano wao wa kazi mnamo mwezi March 2026.
Mkutano huo utakua ni fursa kubwa kwa wamiliki wa kampuni za ulinzi kupata kazi, kufahamiana, na pia kuonana na viongozi wa serikali ili kutatua changamoto zao za kibiashara.
Akizungumza...
Leo tarehe 1 July 2025 katika mahakama ya mwanzo mkoani iringa, taasisi husika kupitia katibu mkuu wake imefunguliwa kesi ya madai ya shilingi 2,340,000.
Kesi hii itatajwa kwa mala ya kwanza tarehe 4 July 2025 mala baada ya mdaiwa kufikiwa na wito wa kimahakama ambao tayali ameupokea na nakala...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.