Mgombea Ubunge wa Jimbo la Segerea kupitia Chama cha Ukombozi wa Umma (CHAUMMA), Agnesta Kaiza, ameahidi kuwafuta wananchi machungu waliyoyapata wakati wa uongozi uliopita chini ya aliyekuwa Mbunge wa jimbo hilo, Bonnah Kaluwa.
Akizungumza Oktoba 26,2025 katika moja ya mikutano yake ya kampeni...
Mgombea Ubunge wa Jimbo la Kigamboni kwa tiketi ya Chama cha Ukombozi wa Umma (CHAUMMA) Yericko Nyerere, amefanya kampeni za aina ya kipekee alizozitaja kuwa “Mobile Campaign”, akiwafuata wananchi walipo na kuhutubia mikutano ya hadhara akiwa njiani bila kutumia jukwaa rasmi, huku akipata...
Mgombea Ubunge wa Jimbo la Kawe kupitia Chama cha Ukombozi wa Umma (CHAUMMA), Dorcus Francis, amesema wananchi wengi wanataka uchaguzi kufanyika badala ya kauli ya “No Reform No Election.”
Akizungumza katika mahojiano na PM TV Tanzania, Dorcus alisema kuwa alipita kaya kwa kaya kuzungumza na...
Nimeitazama hii video ya Mgombe urais kupitia CHAUMMA Salum Mwalimu nikabaki kucheka fulani hivi
Maana jamaa amejiona tayari ameshakuwa Rais, yani ulinzi mwingi bwebwe kibao, Kweli madaraka matamu na hivi wanatembelea gari za bure basi balaa tupu!
Mgombea Ubunge wa Jimbo la Segerea kupitia Chama Cha Ukombozi wa Umma (CHAUMMA), Agnesta Kaiza, amesema akichaguliwa kuwa mbunge ndani ya siku mia moja atahakikisha wakinamama wa jimbo hilo wanapata mikopo ili kuwainua kiuchumi.
Agnesta ametoa ahadi hiyo alipokuwa akiongea na wakazi wa kata ya...
“Watoto wetu wengi hawaendi mbali kielimu, wanasalia njiani. Nimejipanga kubadilisha hili. Elimu lazima iwe bora na ya kuvutia ili watoto wamalize shule,” amesema Khadija.
Akizungumza na mamia ya wananchi katika mkutano wa kampeni uliofanyika Viwanja vya Kibaha Picha ya Ndege, Halmashauri ya...
"hii inawezekanaje? tunalipa kodi ya serikali kila kitu unachokwenda kununua unalipa asilimia 18% hatuna sababu wanawake kulipia magharama ya kujifungua hospitali" amesema Moza.
Kupata matukio na taarifa zote kwa kila mkoa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025 ingia hapa: Special Thread: Mijadala na...
Mgombea urais wa Chama cha Ukombozi wa Umma(CHAUMMA), Salum Mwalimu ametoa neno mechi ya Simba na Yanga iliyochezwa jana
Ametoa neno hilo leo septemba 17 akiwa Kasharunga, Muleba mkoani Kagera akiendelea na kampeni zake kuomba kura kuelekea Oktoba 29 mwaka huu.
Chanzo: Nipashe
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.