kampeni ya kuzuia vvu

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. tonicimmobility

    Watanzania tupunguze kuwanyanyapaa wenye VVU, tuwathamini

    Jamii imetakiwa kuacha tabia ya unyanyapaa kwa waathirika wa ugonjwa wa Ukimwi hususani vijana. Badala yake iwape ushirikiano ili kuwafanya wajisikie vizuri pamoja na kupata nafasi ya kuonyesha walichonacho katika jamii wanazoishi. Wito huo umetolewa na Daniel Moses muelimishaji rika kutoka...
  2. Mindyou

    Naibu Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu: Njombe, Iringa na Mbeya maambukizi ya VVU bado yapo juu

    Wakuu, Hivi hii mikoa ya Njombe, Iringa na Mbeya kuna shida gani? Mbona kila siku maambukizi yako huku tu? Akiwa anazungumza hivi karibuni ambaye ni Naibu Waziri-Ofisi ya Waziri Mkuu-Sera Bunge na uratibu alisema: "Bado kuna mikoa ina ushamiri mkubwa wa VVU kwa mfano Njombe, Iringa na Mbeya...
  3. Mindyou

    UNAIDS: Maambukizi ya UKIMWI yanaweza kuongezeka mara 6 kufikia mwaka 2029

    Wakuu, Hivi si tuliambiwa kuwa ARV ziko za kutosha? Na kwamba tusihofu Marekani kusitisha misaada kwa sababu serikali ina ARV zinazotosha? Sasa inakuaje tunapewa onyo kuwa maambukizi ya UKIMWI yataongezeka? Au ndo yaleyale tuliambiwa Rais yuko fit alafu baada ya siku kadhaa tukatangaziwa...
  4. Blasio Kachuchu

    Waziri wa Afya akutana na kufanya mazungumzo na Kido balozi wa kampeni ya Holela-Holela itakukosti

    Dodoma Jumamosi 15 Juni 2024 Waziri wa Afya Ummy Mwalimu leo amekutana na kufanyia mazungumzo na KIDO ambaye ni balozi wa kampeni ya Holela-Holela itakukosti. Kampeni ya Holela-Holela itakukosti inasisitiza mbinu kamilifu ya " Afya Moja" kushughulikia tatizo la UVIDA na magonjwa ya zuonotiki na...
Back
Top Bottom