Bi. Juby Msuya mbaye ni Muandaaji wa Tuzo za Business Awards na Mwanachama wa Chama cha Mapinduzi (CCM), UWT, UVCCM na Umoja wa wazazi amechukua fomu ya kuomba ridhaa ya kupitishwa na Chama Cha Mapinduzi kuwa Mgombea wa Ubunge wa Viti Maalum Mkoa wa Dar es Salaam kupitia UWT.
Soma Pia: Uzi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.