Baada ya JKIA Terminal 1A kupanuliwa na kujengwa na technolojia ya kisasa, sasa wameamua kuvunja 1C na 1D na kuzijenga upya
Terminal 1A ilishapanuliwa na kufanyiwa hivi
Sasa huko kwa 1B na 1C ndo kulikua bado airport ya zamani
Baada ya upanuzi hapo kati kati ambapo sahii hua ni parking...